Thread: Mechi za timu zisizo maarufu Ligi Kuu Tanzania

Thread: Mechi za timu zisizo maarufu Ligi Kuu Tanzania

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Nimeona Kuna umuhimu wa kuwa na bandiko Mahsusi mwa mechi zitakazochezwa na timu zisizo maarufu kwenye Ligi ya Tanzania.

Hiyo imetokana na kuwa kama Simba au Yanga hawachezi habari za mechi za timu nyingine haziandikwi humu.

Tuanze na leo ambapo kulikuwa na mechi kati ya Coastal Union ya Tanga dhidi ya Tanzania Prisons ya Mbeya.

Mchezo huo umemalizika Kwa Costal Union kushinda 2-1.
 
Nimeona Kuna umuhimu wa kuwa na bandiko Mahsusi mwa mechi zitakazochezwa na timu zisizo maarufu kwenye Ligi ya Tanzania.

Hiyo imetokana na kuwa kama Simba au Yanga hawachezi habari za mechi za timu nyingine haziandikwi humu.

Tuanze na leo ambapo kulikuwa na mechi kati ya Coastal Union ya Tanga dhidi ya Tanzania Prisons ya Mbeya.

Mchezo huo umemalizika Kwa Costal Union kushinda 2-1.
Tengeneza special thread kwa ajali ya NBC premier League makolo kolo yote yawekwe humo
 
Hilo ni tatizo sugu kuanzia kwenye media tangu kuanzishwe hizi redio za mchongo na wachambuzi wa mchongo waandishi wa habari wa mchongo hizo timu zisizotoa vocha hazirushwi habari zao mfano mzuri coastal union ni timu kongwe na maarufu huu ukanda wa pwani na kusini yake!
 
Hilo ni tatizo sugu kuanzia kwenye media tangu kuanzishwe hizi redio za mchongo na wachambuzi wa mchongo waandishi wa habari wa mchongo hizo timu zisizotoa vocha hazirushwi habari zao mfano mzuri coastal union ni timu kongwe na maarufu huu ukanda wa pwani na kusini yake!
Kabisa. Bila hela za kuhonga habari za timu hazitolewi. Inawezekanaje nchi nzima timu "zinazochambuliwa" ni mbili tu.
 
Nimeona Kuna umuhimu wa kuwa na bandiko Mahsusi mwa mechi zitakazochezwa na timu zisizo maarufu kwenye Ligi ya Tanzania.

Hiyo imetokana na kuwa kama Simba au Yanga hawachezi habari za mechi za timu nyingine haziandikwi humu.

Tuanze na leo ambapo kulikuwa na mechi kati ya Coastal Union ya Tanga dhidi ya Tanzania Prisons ya Mbeya.

Mchezo huo umemalizika Kwa Costal Union kushinda 2-1.
Duh... Wajelajela wamepigwa!!!
 
Hilo ni tatizo sugu kuanzia kwenye media tangu kuanzishwe hizi redio za mchongo na wachambuzi wa mchongo waandishi wa habari wa mchongo hizo timu zisizotoa vocha hazirushwi habari zao mfano mzuri coastal union ni timu kongwe na maarufu huu ukanda wa pwani na kusini yake!
SIMBASC na YangaSC ni kioo cha soka kwenye hii nchi. Hizi redio na wachambuzi wa mchongo wanajua fika bila kuzijadili Simba na Yanga hakuna mtu atafuatilia redio zao. Mtu anavumilia kusikiliza matangazo kumi ya biashara ili tu kusikiliza Simba au Yanga kafanyaje, baada ya hapo anazima redio hana muda wa kufuatilia Ken gold au prison .
 
SIMBASC na YangaSC ni kioo cha soka kwenye hii nchi. Hizi redio na wachambuzi wa mchongo wanajua fika bila kuzijadili Simba na Yanga hakuna mtu atafuatilia redio zao. Mtu anavumilia kusikiliza matangazo kumi ya biashara ili tu kusikiliza Simba au Yanga kafanyaje, baada ya hapo anazima redio hana muda wa kufuatilia Ken gold au prison .
Watu wa mchongo!
 
SIMBASC na YangaSC ni kioo cha soka kwenye hii nchi. Hizi redio na wachambuzi wa mchongo wanajua fika bila kuzijadili Simba na Yanga hakuna mtu atafuatilia redio zao. Mtu anavumilia kusikiliza matangazo kumi ya biashara ili tu kusikiliza Simba au Yanga kafanyaje, baada ya hapo anazima redio hana muda wa kufuatilia Ken gold au prison .
Sio sahihi kadiri unavyokitangaza kitu ndipo hadhira inakizoea maana hapo nyuma radio ilikuwa inavipindi rukuki vya kijamii kiuchumi na biashara na matangàzo yakllikuwepo shida ujinga wa hizo timu kupewa airtime kupita kiasi ndio unaharibu kila kitu
 
Kuna gemu Kati ya Tanzania Prisons na Kagera sugar.

Dakika ya 35.

Matokeo 0-0
 
Meshack Mwamita wa Tanzania Prisons anatolewa nje Kwa kadi ya Nyekundu baada ya kupewa kadi mbili za njano.
 
Back
Top Bottom