warumi uliombwa rasmi au kupitia uongozi wa JF habari yako itumike?
Unajua kuna waandishi wa makala maarufu humu JF ni lulu na michango yao huombwa na vyombo vingi vya habari?
Mtu akifumaniwa tu ni habari kwa GPL hivyo usijishushe mno dhamani yako kisa wamebeba tu habari yako.
Unaweza kufanya makubwa mno wewe fanya kazi utaona PM kibao za kuomba appointment za maana acha kujishusha kivile while unafanya vyema humu kuliko hata hao GPL.
Shukrani inabidi nifanye communication na Invisible ili nijue ananisaidiaje, maana natumia akili ya ziada kwa kweli kufanya kazi nzuri , halafu wengine waitumie kwa manufaa yao wenyewe bila kutoa jasho. Ahsante sana kwa upendo wako na kujali ninachokifanya.
Upo very sharp! niliamua kufuta huo ushauri haraka sababu niliona inaweza kuzua vitu flani kwa member wengine hivyo niliona bora nijiridhishe kwanza kiutaratibu kwa Invisible kabla.
BTW nimeona mzee kachungulia na kugonga like! cheki nae.
Upo very sharp! niliamua kufuta huo ushauri haraka sababu niliona inaweza kuzua vitu flani kwa member wengine hivyo niliona bora nijiridhishe kwanza kiutaratibu kwa Invisible kabla.
BTW nimeona mzee kachungulia na kugonga like! cheki nae.
sawa , ndo gharama ya umaarufu ninayopaswa kuilipa humu, haya yote ni matokeo ya umaarufu nilionao.
Wajinga hao, nimeshawapotezea, ngoja niandae thread nyingine matata naona jukwaa limepoaa binamu. Ahsante binamu.
Huo huo umbea ndo umenipa umaarufu na ndio maana hata wewe umeacha kazi zako na kusoma umbea Wangu. Usiku mwema aiseeh kesho
we ni **** kweli yani dume zima unalazimisha umaarufu badala ya kutafuta hela kwanza we ni maarufu wa wapi,,au unatafuta basha akuchape nao