watu8 wanafunzi wakishashika pc wanatundika kila kinachokuja kichwani hapa! Hata wenzetu ambao washaotea mvi hapa nao? Hapana!
Arushaone weekend njema ..akili imeshachoka sasa
Kama kweli nyie mna uchungu,
Tajeni hizo post za kitoto tuzione.
ili tuache unafiki.
Majukwaa yote yana heshima zake na kumekuwa na taratibu zinazoelekezwa; kwanza wakati wa kujiunga na JF na taratibu zingine za kila jukwaa. Pamoja na yote hayo, hapa CHIT CHAT tumekuwa na tatizo la kupost chochote kinachokuja kichwani kama wanafunzi.
Kama kweli nyie mna uchungu,
Tajeni hizo post za kitoto tuzione.
ili tuache unafiki.