Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,097
Nimesha-do the needfull...i am good in keeping my promises
Erickb52 nimepata salam zako na nashukuru sana. Pokea tani moja ya salam kutoka kwangu na kwa shemejio Mamzalendo
jukwaa limejaa upuuuzi mtupu utoto mwingi kudadadadeki.....
punguzeni utoto,ujinga ujinga....sio jukwaa la salamu hili mbwiga nyie....tafuteni mambo ya kufanya someni vitabu ongezeni bongo zenu akili....kama huna kazi soma hata daily news sio kuja kuandika upuuuzi upuuzi na kutumiana salamu mazumbukuku nyie....Nini kifanyike ili kupunguza huo upuuuzi na utoto?
Teh teh.. mambo vipi mbwiga ,zumbukuku Nicas Mteipunguzeni utoto,ujinga ujinga....sio jukwaa la salamu hili mbwiga nyie....tafuteni mambo ya kufanya someni vitabu ongezeni bongo zenu akili....kama huna kazi soma hata daily news sio kuja kuandika upuuuzi upuuzi na kutumiana salamu mazumbukuku nyie....
punguzeni utoto,ujinga ujinga....sio jukwaa la salamu hili mbwiga nyie....tafuteni mambo ya kufanya someni vitabu ongezeni bongo zenu akili....kama huna kazi soma hata daily news sio kuja kuandika upuuuzi upuuzi na kutumiana salamu mazumbukuku nyie....
niaje arifu......mbwiga ni jina tu la kizaramo....kwetu wazaramo ni watu lege lege so ukiona waitwa mbwiga ujue ni lege lege BTW sio tusi arifu......aisee aliekuwa gavana na waziri wa fedha ni babako? aisee ndio maana mashori wa JF wanajigonga kwako arifu....Hata wewe ni mbwiga ndio maana upo huku.. Ingekuwa wewe sio mbwiga usingepata muda wa kubishana na le mutuz
niaje arifu......mbwiga ni jina tu la kizaramo....kwetu wazaramo ni watu lege lege so ukiona waitwa mbwiga ujue ni lege lege BTW sio tusi arifu......aisee aliekuwa gavana na waziri wa fedha ni babako? aisee ndio maana mashori wa JF wanajigonga kwako arifu....
Majukwaa yote yana heshima zake na kumekuwa na taratibu zinazoelekezwa; kwanza wakati wa kujiunga na JF na taratibu zingine za kila jukwaa. Pamoja na yote hayo, hapa CHIT CHAT tumekuwa na tatizo la kupost chochote kinachokuja kichwani kama wanafunzi.
Ukisoma threads na commends za kwenye hili jukwaa la chit chat unaweza kutapika kwa kichefuchefu, cha kushangaza wachangiaji wa humu wengi wao ni njembaz kabisa, wengi wao wakiwa ni members wa muda mrefu sana wa jf. Mods naomba mliondoe hili jukwaa kwani linatufedhehesha sana wa tz, tz tunaonekana watu wa ***** ***** tuuuu! CHIT CHAT HAIMAANISHI KUMWAGA PUMBA ZISIZO NA KICHWA WALA MIGUUU!!! PUUUUUUUUUUUHHHH