THREAD zenye MAMBO YA KITOTO ziachwe

Mkiambiwa ukweli mnaomba ban, wachonganishi wakubwa

Umeongea ukweli au pumba tu, leo hii unamwona mtu chit chat hana maana kesho ndio huyo utajishaua kumwomba msaada JF Doctor au Sci&Tech.
Na kwa taarifa yako jukwaa hili lilianzishwa na timu ya JF, sasa sijui tukujengee hoja kuwa kwa matusi yako ni kama unawatusi kina Paw, Invisible na wengineo.
 
dada,huyu kaboka mchizi wala asikukondeshe,namwandalia ***** na nikimalizana naye hata panya wa nyumbani kwake hawatasalimika.Huyu masulupwete inaelekea alifukuzwa kijijini kwao kwa kumnililiyu mbuzi wa kijiji.

aftaghafilurai....! Mpaka kitoweo kimehusishwa?? Yoo, mawe kazilo!!
 
Mnaondoa stress kwa kudiscuss pumbaz na ujinga ujinga!!!???? Wewe kweli ni mbumbumbu!!! Mnatufedhehesha watz na pumba zenu, hii ni internet age, pumba mnazopost hapa zinasomwa dunia nzima maskini wa mawazo wewe

Hata aibu huna wewe,
Umeandika pumba ngapi mpaka kuwa senior member???
Au zako huwa huzioni???

Eti internet age, pumba ngapi za nje mnazofagilia enyi wanafiki wa kileo??
 
Ndio kinachonishangaza mimi, watu wazima halafu wanajiwehusha huku!! Tafuteni na punga la chit chat basi
 
Mnazidi kuonyesha umbumbu wenu
 
Hahahaaaaa sikujua kama na wewe ni member mzuri wa chitchat.
Usijali tutakufungulia thread na kampeni tutakupigia na hautakuwa na mpinzani wala mgombea mwenza.
Yaani ni wewe tu na utapita bila kipingamizi chochote!

Tumpotezeeni tu huyu hana point...at first I thought ana sababu za msingi lakini naona ana chuki binafsi tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…