Husika na kichwa cha habar hapo juu nimekuwa nikijiuluza sana kwa nini! mada nyingi zimekuwa za kijinga jinga hasa kwenye jukwaa la MMU yani mtu anaandika thread ya kuomba ushauri mpaka msomaji unajuta kwa nini ulifungua uzi.... Nina mashaka sana kama humu kuna magreat thinker kweli... au wengine akili zao za ving'amuzi mpaka zibustiwe
Ipo siku mtu ataleta thread humu yupo na mrembo guest/lodge/room kwake wamedendeka wee, wamevuana na nguo kabisa afu atauliza nifanyeje hapa wadau niko njia panda..
Natamani ningekuwa mod wa JF