chuma cha reli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2012
- 2,764
- 2,559
- Thread starter
-
- #21
Ingia hotelini, halafu useme,....Jamani mnaninyima pilau na kuku kwa sababu tu nimepungukiwa shs 700? Halafu utuletee jibu hapa. Acheni tabia za kulalamika!!! Unataka nani akulipie ada? it is fair?
Waeleze hao watoto. Wanapayuka bila kuwa na taarifa sahihi. Isitoshe hakuna cha bure dunia ya leo. Hata mkeo hawezi kukupa unyumba kila kukicha wakati huwezi kutimiza mahitaji ya familia. Atakutelekeza mara moja ukafilie mbali na gegedo lako...........
Wengi wanapewa ada, wanakula. Unapoamua kwenda chuo kusoma, inamana umejipanga kifedha. Chuo kifunguliwe tangu mwezi wa tisa mwaka jana, mpaka leo ada hujamaliza, ila sikuu umejichana. Wengine hawata fahulu wata discontinue baada ya kufeli, atakuja kumaliza ada huo? Si atakua ametumia rasilimali za chuo mfano, walimu, umeme, maji nakadhalika, gharama za chuo, harafu unasema aendele mpaka afanye mtihani nakupotelea mbali aki feli. Kwani wao wanakua hawajui kwamba wanadaiwa? Watanzania kwa dezo. Nenda ulaya kama utasoma nakufanya mitihani bure. Kwahio kwavile ni chuo chauma, mambo yawe hovyo. Tunalamikia taasisi zauma hazikusanyi kodi, kesho watakuja kwambia hao hao akina Dr Mabula, hawakusanyi ada. Huyu ni CEO safi na mchapa kazi. Awe mfano kwa ma CEO wengine wamashirika ya uma.
Asante sanaKwa post yako hii tu inatosha kujua we ni mtu wa aina gani...
Capacity charge na service charge.....bastard.
Inaonyesha una tabia za kike na hayo ndio maisha huliyochagua...maku mbena.
Huu utaratibu ulianzishwa na huyu CEO mpya Dr.Joseph Mabula Kihanda sio mzuri na sio wa kitanzania,tunajua kabisa asilimia Kubwa ya watanzania ni masikini bila kujali itikadi zao lakini huyu bwana kaleta utaratibu eti kama ujamaliza kulipa ada hurusiwi kufanya mitihani ya semister
Chuo ambacho kiko chini ya mamlaka za serikali kinakuwaje na habari za kihafidhina kama izo badala ya kuwaacha watu wafanye mtihani kwanza ili baadaye kwenye final or last year ndio wawabane ye analeta habari zake za porini huko....
kuna wanafunzi naishi nao hapa mtaani wanalalamika tabia za ajabu na mbovu anazozionyesha hapo chuoni...
Hivi mamlaka zinazohusika zinalijua suala hili Mr.Azizi Kifile muwe mnamshauri huyu mtu anachofanya ni kurudisha maendeleo nyuma.
Wanafunzi Wa TIA hiyo TIASO kazi yake nini au ndio kula pesa za mabashi tu na kunywa pombe...Bob Marley aliwai kuimba #stand_up_for_your_right
Njia sahihi ya kuonyesha kilio chenu ni kujioganize na kuandamana mpaka kwenye ofisi zake ili dunia ijue Dr.Mabula ni mtu hatari wa kuepukwa.
Hili swala ni gumu na zito sana kama unaelewa nini athari za kuzuiwa kufanya mitihani kwa wahusika. Ndo maana mfano shule za sekondari watu huvumiliwa kufanya mitihani lakini hatapata matokeo yake mpaka amalize madeni ama hatapata vyeti mpaka amalize madeni yake.
Unayetoa mifano ya migahawa na huduma zake,tafsiri ndogo tu unawaza kula period. Elimu ni future si kwa hao watakaoipata tu hata jamii pia kwa namna moja ama nyingine. Mtu anayekwamisha watu katika elimu si mzuri hata kidogo.
Mkuu vijana wenzetu wamepatwa na haya TIA mkoa gani? Tafadhali uongozi serikali ya wanafunzi wajaribu kuwanasua wenzao.
Tatizo la watanzania....ni uzuzu.
Sasa hapo unauliza au unakejeli au kwa vile tatizo sio lako.....ndugu yangu usiongee maneno ukamaliza..you never know..
Uwe unaongea kwa hoja sio unapayuka tu.
kama ulijua huna hela,ulifuata nin chuo?there is no such a thing like free lunch exists under the sun.
kama ulijua huna hela,ulifuata nin chuo?there is no such a thing like free lunch exists under the sun.
We unataka chuo kijiendeshe vpi pasipo pesa,na tabia ya baadh ya wanafunz wanakuwa hzo pesa kakin hawazitoi mpaka waekewe vikwazo kama hvyo ndipo atoe
Huu utaratibu ulianzishwa na huyu CEO mpya Dr.Joseph Mabula Kihanda sio mzuri na sio wa kitanzania,tunajua kabisa asilimia Kubwa ya watanzania ni masikini bila kujali itikadi zao lakini huyu bwana kaleta utaratibu eti kama ujamaliza kulipa ada hurusiwi kufanya mitihani ya semister
Chuo ambacho kiko chini ya mamlaka za serikali kinakuwaje na habari za kihafidhina kama izo badala ya kuwaacha watu wafanye mtihani kwanza ili baadaye kwenye final or last year ndio wawabane ye analeta habari zake za porini huko....
kuna wanafunzi naishi nao hapa mtaani wanalalamika tabia za ajabu na mbovu anazozionyesha hapo chuoni...
Hivi mamlaka zinazohusika zinalijua suala hili Mr.Azizi Kifile muwe mnamshauri huyu mtu anachofanya ni kurudisha maendeleo nyuma.
Wanafunzi Wa TIA hiyo TIASO kazi yake nini au ndio kula pesa za mabashi tu na kunywa pombe...Bob Marley aliwai kuimba #stand_up_for_your_right
Njia sahihi ya kuonyesha kilio chenu ni kujioganize na kuandamana mpaka kwenye ofisi zake ili dunia ijue Dr.Mabula ni mtu hatari wa kuepukwa.
nnachoona hapa ni utofauti wa maisha ndo unafanya guwe na mawazo tofauti kw mtu wa maisha ya kitanzania yaani wale watoto wa wakulima hawawezi kufurahia au kukashfu kitu alichotoa muweka mada,watu wanasoma kwa shida sana hapa tanzania huyo mtu aliyesomesha watoto wake shule za milion sijui mbili sidhani kama anashindwa kumlipia mwanae ada ya chuo kama TIA ambayo ni milioni moja na laki mbili mpaka tatu kma sijakosea,lakini vipi kuhusu mzazi aliyemsomesha mtoto wake shule za serikali ambazo ada yake ni 70000(sabini elfu) kwa mwaka na bado alikuwa anashindwa kulipa hyo hada kwa wakati stahiki mnaosupport mambo anayoyafanya huyu dr pale TIA sidhani kama ni watanzania mnaoipenda tanzania kwasababu mnasashabikia swala la kwamba elimu ipewe kwa wale wenye uwezo wa kifedha tuu maskia wasio na uwezo waende wapi watawezaje kupata hyo elimu kwa mambo kama haya,eti mtu unasema kama alijua hana hela aliendaje chuo unatumia ubongo kuandika kitu kama hicho kweli nani anapenda kutokuwa na hela au kwakuwa ww unazo unahisi kila mtu anazo thats not fair,ijue tanzania na wakazi wake wote kwenye matabaka yake yote ndo mje hapa muongee vitu kama hvyo.shame on you guys tunasisitiza swala la upatikanaji wa elimu kwa kila mtu sasa kwa itaikadi za hvyo kweli itapatikna kwa wote me nnavyojua kuna watu tunadunduiza maisha yaani unatafuta kidogo kidogo mpaka hyo ada inayohitajika inakamilika sio kama watu wanayaka kusoma bureee.haya maisha ya watu sio mchezo wa kuigiza big up mkubwa #chuma cha reli
Kwanza niseme sitetei upande wowote, ila baada ya maelezo yangu utanielewa
1. Utaratibu huu haujaanzishwa na dr Joseph kwani hata Hanzruni alivyokuwa hapa utaratibu ulikuwa unaendelea. Binafsi niko hapa mwaka wa pili huu semister zote zilizopita hili jambo lipo.
Kwa nini iko hivyo:
i/Wizara imeamua chuo kijiendeshe chenyewe bila ruzuku toka wizarani(idadi ya wanafunzi inakizi bajeti) hivyo basi chuo hakina budi kutumia mbinu zilizopo ili kujiendesha. Itakuwa haingii akilini kuwa una wanafunzi 2000+ kisha unamweleza mwajiri wako huna fedha za kujiendesha kisa wanafunzi hawajalipa ada ili hali hao wanafunzi wapo na wanahudhuria vipindi.
ii/ kuruhusu mwanafunzi aendelee kusoma na kufanya mitihani ilihali hajalipa ada kipindi cha nyuma ilikuwa hivyo ila madhara yake ni kwamba idadi ilikuwa kubwa na kutengeneza "free ride problem" na chuo kushindwa kujiendesha
Na nikujuze tu TIA inawezekana kikawa ndio chuo pekee cha serikali kinacho kulazimu ulipe70% ya ada ndipo ufanye mtihani wa semister 1.
2. Hili swala si la TIA pekee yake nimesoma pia chuo cha kodi-ITA kilichopo chini ya TRA pale napo kama hujalipa ada hakuna mtihani wako na ada yake kwa digrii ni 1.9 M wakati cheti na dip ni 1.5M
3. Hapa niseme ukweli mchungu si kazi ya serikali kunisomesha mimi ila ni wajibu wa wazazi wangu kwani serikali haikuwahii kuwaagiza wazazi wangu wanizae, fikiria kama hakuna serikali hatutasoma? Je nchi ambazo zimekuwa hazina serikali kama somalia hakuna waliosoma? (Nimeamua kusema hivyo kwa sababu sisi waafrika masikini tunaona fahari kuzalishana bila kujali kwamba hawa wanazaliwa watahudumiwa vipi. Tupo watoto 5+ na kipato cha wazazi kiko icu wakati tajiri utakuta ana watoto 3- na anawamudu japo kwa mbinde). Lazima mimi na wewe tubadilike kifikra kwamba si jukumu la serikali kulea watoto ila wazazi. na watoto wetu wajao watasoma bila kujali serikali ipo au haipo na tusizae kwa sifa ila kwa sababu tuna uwezo binafsi wa kuwalea hao watoto