Yakoje?Asante mkuu niliwacheki wanakopesha ila vigezo na mashariti ni ngumu sana kwa makampuni ya kawaida
wakuu hii thread muhimu, vipi kuna mwingine aliwahi kopa hapoYakoje?
Nilienda wakaniambia ninakopesheka ila ni lazima niwe Nina account yenye mda wa miezi 6 na kufungua account ya Biashara ni tzs500,000 na lazima niwe na turnover ya million 300 kwa mkopo wa million 50 maana ndio kianzio kidogowakuu hii thread muhimu, vipi kuna mwingine aliwahi kopa hapo
Hiyo ni benki ya uwekezaji,kwa mijibu wa TIC kituo cha uwekezaji,kwa mzawa ili ufuzu lazima uwe na mtaji wenye thamani ya 300m kwa mzawa na $500,000 kwa mgeni.Kama wewe ni mdogo hawatakukatalia moja kwa moja ila watakupa moyo wa uongo.Jaribu benki ya Kilimo (TADB) wana unafuu fulani.
DSM wapo wapi TADB?Nilienda wakaniambia ninakopesheka ila ni lazima niwe Nina account yenye mda wa miezi 6 na kufungua account ya Biashara ni tzs500,000 na lazima niwe na turnover ya million 300 kwa mkopo wa million 50 maana ndio kianzio kidogo
Lakini ukweli wanataka wakopaji wakubwa kuanzia million 500.
Nilienda wakaniambia ninakopesheka ila ni lazima niwe Nina account yenye mda wa miezi 6 na kufungua account ya Biashara ni tzs500,000 na lazima niwe na turnover ya million 300 kwa mkopo wa million 50 maana ndio kianzio kidogoYakoje?
Asante mkuu ,nilienda TIB , wameenipa maelezo kama hayo. Wapo vizuriNilienda wakaniambia ninakopesheka ila ni lazima niwe Nina account yenye mda wa miezi 6 na kufungua account ya Biashara ni tzs500,000 na lazima niwe na turnover ya million 300 kwa mkopo wa million 50 maana ndio kianzio kidogo
Lakini ukweli wanataka wakopaji wakubwa kuanzia million 500.