Tiba asili za macho zasababisha upofu.

Konda wa bodaboda

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2014
Posts
7,981
Reaction score
4,170
Hii nimeikuta kwenye website fulani ila nimeshindwa kuweka link yake. Hii imesemwa baada ya madaktari zanzibar kufanya utafiti na kuona madhara ya tiba hizo za asili.
Ili kupata taarifa kamili Google hii title...."Tiba za asili za macho zasababisha upofu".
Cc😡mzizi mkavu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…