msuya4real
Member
- Oct 14, 2016
- 76
- 27
Naomba nisaidiwe kama Kuna mtaalam wa Magonjwa ya mfumo wa Hewa especially (Astic case) Au Pumu,
Tiba gani ambayo naweza Kutumia au kuipata ili Kupona kabisa au Kupata nafuu Maana Kila uchwao lazima uwe na Dawa, Hali ikianza lazima utumie umeze dawa, Hasa Aminophilin, Salbutamol, au Predinisolin Tablets, Hali hii ina kama Miaka 10 sasa Ila ilikuja baada ya Kufyatua tofali kama elfu 3000,
Nimejaribu kutumia Miti shamba Ila bado Sijapata inayoweza Kunipa Ahueni
Mwenye Tatzo kama hili au anayejua mtaalamu wa Tiba ya Pumu anitafute kwa Namba 0674119763
Tiba gani ambayo naweza Kutumia au kuipata ili Kupona kabisa au Kupata nafuu Maana Kila uchwao lazima uwe na Dawa, Hali ikianza lazima utumie umeze dawa, Hasa Aminophilin, Salbutamol, au Predinisolin Tablets, Hali hii ina kama Miaka 10 sasa Ila ilikuja baada ya Kufyatua tofali kama elfu 3000,
Nimejaribu kutumia Miti shamba Ila bado Sijapata inayoweza Kunipa Ahueni
Mwenye Tatzo kama hili au anayejua mtaalamu wa Tiba ya Pumu anitafute kwa Namba 0674119763