Nakubaliana na hoja yakoMiaka ya ujima watu walitumia herbs na remedies kutibu magonjwa. Tiba nyingine ilikuwa maombi kwa Mungu. St Raphael ndiye Mtakatifu aliyetumika sana katika maombi ya uponyaji.
Kwa Wakatoliki St Anthony wa Padua alitumika kuleta miujiza katika maombi ya uponyaji.
Kuna rafiki yangu mmoja aligundulika na cancer ya kongosho ambayo huua kwa harakati sana. Alipopewa majibu alikwenda kwa Rabi yeye na Myahudi. Alipewa list ya vyakula vya kuacha kabisa. Alipewa herbal tea na aliambiwa iwe ndiyo maji yake na chai yake hivyo akiamka asubuhi aliichemsha ya kunywa siku nzima.
Alijikita kwenye maombivya nguvu na baada ya miezi mitatu cancer haikuonekana tena.
Ninafahamu wagiriki walitumia nyoka kutibu. Kama Guinness ni mkubwa, mgonjwa aliachwa kwenye chumba chenye nyoka usiku mzima wakimtambaa asubuhi anakuwa nzima kabisa. Ndiyo maana WHO wamebaji na nembo ya nyoka.Kichwa cha habari kinavutia ila habari yenyewe inaitaji nyama zaidi kuelezea ni hatua gani zilipita mpaka kufikia modern medicine
Kuna muvi moja inaitwa The Physician yupo Ben Kingsley niliionaga muda kidogo at least imejitahidi kuelezea kwa kifupi kuhusu modern medicine na hatua ilizopitia
Ukiiona inaweza kutoa mwanga kidogo kwa mtu anayependa kujua zaidi
Yeah kweli wagiriki wamechangia mambo mengi katika modern medicine pamoja na civilization nyingine nyingiNinafahamu wagiriki walitumia nyoka kutibu. Kama Guinness ni mkubwa, mgonjwa aliachwa kwenye chumba chenye nyoka usiku mzima wakimtambaa asubuhi anakuwa nzima kabisa. Ndiyo maana WHO wamebaji na nembo ya nyoka.
Asante sana, na Wahindi walitumia pombe na bangi kama ganzi kabla ya upasuaji. Waarabu ndiyo walikuwa na cocaine kama anaesthetic ambayo ndiyo inatumiwa mpaka leo.Yeah kweli wagiriki wamechangia mambo mengi katika modern medicine pamoja na civilization nyingine nyingi
But kwa kesi ya nembo ya nyoka kwenye WHO in fact yule sio nyoka ila ni aina fulani ya mnyoo kama sijakosea
Wagiriki walikuwa na tiba ya kumtoa huyo mnyoo( uliingia huo ugonjwa kipindi hicho) ambae alikuwa anamuingia mtu kama fungus (nyungunyungu) juu ya ngozi kwa kutumia njia ya kuingiza kijiti na kumnyongorota kuelekea nje so tiba hii ikawa maarufu na sehemu nyingi ambazo zilikuwa zinaitoa tiba hii ikabidi ziweke hiyo alama kama simbo kuonyesha hapo ni sehemu ya tiba na ndio mwanzo wa modern medicine
Taratibu watu wakaizoea na vituo vyote vikawa vinatumia alama hii ndio maana mpaka leo taasisi nyingi za modern medicine na hospital duniani zikaadapt na zinatumia alama hiyo ya mnyoo aliyejivilingita katika kijiti
Mfano hata Muhimbili hospital nafikiri wanatumia alama hiyo
Hiyo tunaiita iman,hakuna jipya,iman ndio huponyeshaMiaka ya ujima watu walitumia herbs na remedies kutibu magonjwa. Tiba nyingine ilikuwa maombi kwa Mungu. St Raphael ndiye Malaika aliyetumika sana katika maombi ya uponyaji.
Kwa Wakatoliki St Anthony wa Padua alitumika kuleta miujiza katika maombi ya uponyaji.
Kuna rafiki yangu mmoja aligundulika na cancer ya kongosho ambayo huua kwa harakati sana. Alipopewa majibu alikwenda kwa Rabi yeye na Myahudi. Alipewa list ya vyakula vya kuacha kabisa. Alipewa herbal tea na aliambiwa iwe ndiyo maji yake na chai yake hivyo akiamka asubuhi aliichemsha ya kunywa siku nzima.
Alijikita kwenye maombivya nguvu na baada ya miezi mitatu cancer haikuonekana tena.
Huko sahihi kabisa na watu wa medical wanajua icho kitu maana wanasema vilevi hasa hivyo vya kulevya ni muscular relaxantsAsante sana, na Wahindi walitumia pombe na bangi kama ganzi kabla ya upasuaji. Waarabu ndiyo walikuwa na cocaine kama anaesthetic ambayo ndiyo inatumiwa mpaka leo.
Huko sahihi kabisa na watu wa medical wanajua icho kitu maana wanasema vilevi hasa hivyo vya kulevya ni muscular relaxants
Mfano dawa zilizopo katika kundi la Opiod kama morphine na pethidine zinatengenezwa kwa kutumia hayo madawa ya kulevya (heroine) na ni addictive
Ndio maana Maumivu makali yakupitiliza kama ya wagonjwa wa kansa wameruhusiwa kutumia Cocaine katika baadhi ya nchi
Wakati wa WW2 wanajeshi wengi walikuwa mateja wa morphine kutokana na kuitumia sana wakiwa majeruhi hata walipopona bado waliendelea kutumia(addicted)
Kuna usemi wa utani unasema "Heroine was invented to cure morphine addiction"
Hata baadhi ya dawa ambazo ni over counter medicine kama Tramadol pia zina elements kiasi za madawa ya kulevya maana moja ya effect zake ni kujisikia euphoric (yaani raha raha fulani) ukiimeza
Kuna watu wengi nawajua ni warahibu (addictive) wa tramadol hahaha
Nzuri tu bi dada, hao wameshakuwa mateja ingawa Tramadol sio strong sana ila ina tabia ya tolerance(kuongeza idadi ya vidonge)Habari yako tabibu, nimekuelewa hasa hapo kwenye tramadol, nina wateja wangu maalum Kila mwezi huwa nawaandikia dozi.