Tiba kwa wenye matatizo ya akili

TEK

Senior Member
Joined
Jul 13, 2015
Posts
184
Reaction score
35
Je umepata hii? kumbe mtu aliye na tatizo la akili, kifafa na uzezeta anaweza kurudisha kumbukumbu?


Hii ni ajabu! Huduma hii ipo kwaajili yako na jirani yako.


Tuwasiliane 0763797853
 
JE UMEPATA HII? Kumbe mtu aliyenatatizo la akili, kifafa na uzezeta anaweza kurudisha kumbukumbu? HII NI AJABU!!!! HUDUMA HII IPO KWAAJILI YAKO NA JIRANI YAKO. TUWASILIANE 0763797853

 
mkuu ninahitaji huduma ya kuhamisha mazao ya jirani yahamie shambani kwangu
 
Nenda Rukwa kwenye Kijiji/kata moja huko Wilaya ya Nkasi inaitwa Kipili na Kirando. Na pia Kyela Mbeya kijiji kimoja kipo mpakani mwa Malawi kinaitwa Katumba huko ndipo utapata hiyo Teknolojia ya kisasa kabisa.
 
Heshima kwenu wakuu,

Dada yangu anateseka kwa ugonjwa wa akili na kadri siku zinavyosonga tatizo linaongezeka,naomba anayefahamu mtaalamu awezae kumtibu anielekeze na kuhusu hospitali ya Mirembe utaratibu na gharama za matibabu yakoje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…