Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Tumia Asubuhi unapo maliza kuoga na usiku unapo taka kwenda kulala. tumia limau kama anavyo fanya huyo mdada.Unatakiwa kutumia wakat gan?au baada ya kuoga?huchanganyi na k2 chochote ni limao tu?
malimao yanapatikana wapi?
malimao yanapatikana wapi?
Mkuu itabidi uyaagize Malimau toka china kazi kweli ipo hapo.... Limau Made in China...........nisubiri niyaagize kutoka china kwani nimesikia kuna kiwanda kizuri kinayatengeneza
Kama kuna vidonda vya kunyoa sasa..!
Kama kuna vidonda vya kunyoa sasa..!
acha kunyoa kwa wembe kuepusha vidonda tumia hair remover ziko pharmacy na supermarkets
kila mahali watumia hizo hair remover?
Mbona unaogopa niniliu yako. Kila mahali tumia tu lol.
ila kuna disposable vinyoleo bwana, tena kwa ajili ya ladies. Afu hiyo ni kazi ya mwenye shamba, ili aamue tuta anaweka wapi
Ha ha ha ha, una kichaa ujue?!
Umenichekesha hazarani mdomo wazi, siwezi kubali nyolewa na mtu mwingine, si atanichungulia maini?
Kwa kweli hair remover kwenye naniliyu inatisha, nahisi itawaka moto. Vinyoleo sawa, ila sio topaz