Tiba mbadala ya typhoid

mhogo mtamu3

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2016
Posts
344
Reaction score
250
Nilikua naomba kuuliza kuhusu tiba mbadala ya ugonjwa wa typhoid maana ni wa muda mrefu karibu miaka 5 kila nikipima upo na nimeshatumia dawa zote adi sindano but tatzo bado lipo. Ushauri wenu ni muhimu sana
 
Nilikua naomba kuuliza kuhusu tiba mbadala ya ugonjwa wa typhoid maana ni wa muda mrefu karibu miaka 5 kila nikipima upo na nimeshatumia dawa zote adi sindano but tatzo bado lipo. Ushauri wenu ni muhimu sana
Nitafute mimi nipate kukupa dawa mbadala ya kutibu maradhi yako yaTyphoid (Homa ya Matumbo) upate kupona kabisa.Unaweza kunipata kwa mawasiliano ya
Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…