mavuno nyamanoro
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 587
- 155
Ndugu wajasiriamali. hasa wafugaji wa kuku wa asili. mimi nimefanikiwa kutibu magonjwa mawili ya kuku. kwa tiba mbadara (1) uharo mweupe. nilichanganya vumbi la mkaa na chakula cha kuku nikawapa kwa siku tano. tiba hii hutumiwa sana na WASABATO