Tiba mbadara kwa magonjwa ya kuku

mavuno nyamanoro

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2013
Posts
587
Reaction score
155
Ndugu wajasiriamali. hasa wafugaji wa kuku wa asili. mimi nimefanikiwa kutibu magonjwa mawili ya kuku. kwa tiba mbadara (1) uharo mweupe. nilichanganya vumbi la mkaa na chakula cha kuku nikawapa kwa siku tano. tiba hii hutumiwa sana na WASABATO
 
walipona au kinyesi kilikuwa na rangi ya mkaa tu?
 
kutibu kuhara (kuharisha) binadamu. (2) kupinda shingo natumia kitunguu swaumu naponda ponda kitunguu swaumu punje 7 nachanganya na maji ujazo wa birauli 1. namunywesha kuku kwa kutumia bomba la sindano kisha namulisha chakula na kumunyoosha shingo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…