uganga wa kienyeji upo wa aina nyingi hivyo ili kuepuka ramli katika mambo serious tunataka kwanza mtu yeyote anayekuja na tiba kwanza atueleze mfano asali ina contents zipi, mdalasini una content zipi? kitunguu swaumu kina content zipi na ukivichanganya unapata nini na kinafanya kazi vipi mwili.
lakini wengine mnaoteshwa huko kama babu wa loliondo alafu mnakurupuka dawa fulani inatibu sana.
baada ya kutuambia michanganyiko yenu hiyo ina nini basi muipeleke wizara ya afya ikafanyiwe utafiti kuthibisha madai yenu na hapo ndio iruhusiwe kutumika.
kama mmeota tu ni bora vikombe vyenu mvinywe wenyewe