Crispin Nyoni
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 413
- 90
Hapa kwa Mahuki Msamala Songea pana clinic ya mazoezi kutoka kampuni ya CERAGEM. Pameandikwa Nazareti clinic.Ambapo wanakulaza chali kitandani na hicho kitanda kinakunyosha kiuno, mgongo, miguu, kupunguza kitambi nk.Dakika 40 tsh 3000 ili ushughulikiwe na hicho kitanda.Nimemuuliza dada wa hapo akasema hakuna madhara.Lakini inawezekana labda kuvutia tu biashara.Je, wadau mnaweza mkasema zaidi.Kuna madhara gani?