Mkuu, Pole...lakini Nematodes ni group kubwa ya viumbe(kibaiolojia huitwa Phylum
ingekuwa rahisi kama uki-specify Nematodes wa aina gani ulioamviwa guko hospitali)...
Ila tatizo hasa ni minyoo(nematodes) kwa ujumla kwa kutumia dawa za minyoo huweza kutibu tatizo, Ushauri wa daktari pia ni muhimu kwani minyoo hao huweza kuishi umbali hata wa mita 30 kutoka usawa wa ardhi na umbali wa mita 50(urefu) kutoka mazalia yao, hivyo uvaaji wa viatu, usafi wa maji na vyakula na matunda, usafi binafsi(kabla na bada ya kula, kutoka uani.n.k).