Naomba msaada wenu wadau Mke wangu anaumwa Jino na Limechimbika sana hadi sasa, Sasa nilikuwa naomba mwenyekujua Tiba Mbadala ya Jina Kuacha kuuma na kupona kabisa Naomba Anijuze Nipate kumtibu mke wangu.
unachemsha, magadi, matura (matoboro), limao baada ya hapo unachanganya na mafuta ya taa km kizibo kimoja hvi. Kisha unaweka kwny mdomo ktk dk kumi na tano
unachemsha, magadi, matura (matoboro), limao baada ya hapo unachanganya na mafuta ya taa km kizibo kimoja hvi. Kisha unaweka kwny mdomo ktk dk kumi na tano