Tiba ya kusafisha macho

Sinamboga

Member
Joined
Dec 6, 2012
Posts
84
Reaction score
37
Habari
Naomba kujuzwa tiba ya kuondoa wekendu katika macho na je wekundu unasababishwa na nini?
 
Bangi na pombe watumia? Mazingira ya kazi yako ni gani? Tuanzie hapo kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…