Ududu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 1,020
- 556
Habarini wana jukwaa?Nina mdogo wangu wa miaka 18 ana tatizo la uoni hafifu na usikivu hafifu,amekua akitumia miwani toka akiwa na miaka 14 baada ya ushauri wa daktari lakini hivi karibuni hali yake imekua mbaya zaidi kwani anapoteza uwezo wa kuona na kusikia siku baada ya siku.
Naomba yeyote mwenye kujua dawa ya kumsaidia au hospitali yenye mabingwa wa matatizo ya Macho na Masikio Kwa hapa Dodoma au Dar-es-salaam.
Naomba yeyote mwenye kujua dawa ya kumsaidia au hospitali yenye mabingwa wa matatizo ya Macho na Masikio Kwa hapa Dodoma au Dar-es-salaam.