Tatizo huenda ni allergy au infection
Msaada wa haraka hatuwezi kutoa kwani atujamuona mgonjwa au hujatoa maelezo ya kutosha . Huenda ana changamoto kwenye .fumo wa upumuaji ( respiratory system) kwa msaada wa humu JF hauta tosha.
Hivyo aende hospitalini kuepusha tatizo kua sugu