kongobelo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 372
- 489
Habari wadau,
Nina dada yangu ambaye anasumbuliwa na ugonjwa wa tumbo kuuma kila inapofika kwenye tarehe zake. ameolewa kama miaka 3 iliyopita ila hajabahatika kushika ujauzito. alienda hospitali akapimwa akaambiwa ana uvimbe akafanyiwa upasuaji ila hakupata nafuu hadi leo ni kama mwaka mmoja na nusu. ametumia kila aina ya tiba ila hakuna nafuu. sasa ni kama miaka 6 hana raha ya maisha kila tarehe zikifika...Juzi amepima pale Muhimbili na ameonekana na uvimbe mwingine,kwa sasa hajafanya operesheni ya pili anaangalia kama anaweza pata tiba mbadala ya kurusha uvimbe. ana clinic pale muhimbili.
ninahitaji ushauri wenu wadau kama kuna ambaye anauelewa au kama alipona.
natanguliza shukrani zangu..
Nina dada yangu ambaye anasumbuliwa na ugonjwa wa tumbo kuuma kila inapofika kwenye tarehe zake. ameolewa kama miaka 3 iliyopita ila hajabahatika kushika ujauzito. alienda hospitali akapimwa akaambiwa ana uvimbe akafanyiwa upasuaji ila hakupata nafuu hadi leo ni kama mwaka mmoja na nusu. ametumia kila aina ya tiba ila hakuna nafuu. sasa ni kama miaka 6 hana raha ya maisha kila tarehe zikifika...Juzi amepima pale Muhimbili na ameonekana na uvimbe mwingine,kwa sasa hajafanya operesheni ya pili anaangalia kama anaweza pata tiba mbadala ya kurusha uvimbe. ana clinic pale muhimbili.
ninahitaji ushauri wenu wadau kama kuna ambaye anauelewa au kama alipona.
natanguliza shukrani zangu..