Ndugu zangu, leo ni siku ya pili nina maumivu ya kifua (kinauma kwa ndani) lakini sibanji na wala sikohoi mfululizo. Siwezi kuvuta pumzi (deep inhale), niki/inama/inuka/lala au nikijigeuza nahisi maumivu makali ya kifua kwa ndani. Muda huu naandika nimeshindwa kulala na kwetu huku zahanati ziko mbali na usalama ni mdogo kabisa.
Naomba kujuza tatizo na tiba yake tafadhali.