Tiba ya mfupa uliovunjika zamani kusikia baridi

kiwiko

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2014
Posts
1,341
Reaction score
2,214
Habarini wakuu. Nini tiba ya mfupa uliovunjika zamani na kupona kusikia baridi ukiwa maeneo ya baridi kali kama Mbeya, Iringa na Arusha.
Ukiwa maeneo ya joto kama kanda ya ziwa au Dar baridi halisikiki tena hio sehemu.
Naomba ushauri jinsi ya kupambana nao maana ni kero unapokua maeneo ya baridi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…