Tiba ya pneumonia kwa watoto

anania

Member
Joined
Jul 2, 2010
Posts
83
Reaction score
8
Nina mtoo wa mwaka mmja amekuwa akisumbuliwa na pneumonia kila baada ya wiki mbili.Najitahidi kumvalisha nguo nzito kukiwa na baridi kakini haisaidii.Amechomwa X-pen mpaka ****** yamekakamaa naombeni ushauri wa tiba ya kudumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…