Health service
Member
- Mar 8, 2014
- 60
- 11
Habari yenu wana jf doctor, mimi nahitaji dawa ya kunitibu tatizo la kutosikia vizuri,
Tatizo langu sio kubwa sana, kwani naweza kukaa na watu kwa muda mrefu na wasijue kama nina tatizo hilo, kuna wakati napata shida ya kusikia,
Naweza kukaa na watu tukaongea vizuri tu bila kuuliza mara mbilimbili walichosema, aidha tatizo langu linaonekana sio la kuhitaji mtu aongee kwa sauti kubwa, kwani unaweza kuongea kwa sauti kubwa na nisikusikie,
Sikuwahi kwenda hospital kucheck hili tatizo.
Tatizo langu sio kubwa sana, kwani naweza kukaa na watu kwa muda mrefu na wasijue kama nina tatizo hilo, kuna wakati napata shida ya kusikia,
Naweza kukaa na watu tukaongea vizuri tu bila kuuliza mara mbilimbili walichosema, aidha tatizo langu linaonekana sio la kuhitaji mtu aongee kwa sauti kubwa, kwani unaweza kuongea kwa sauti kubwa na nisikusikie,
Sikuwahi kwenda hospital kucheck hili tatizo.