Health service
Member
- Mar 8, 2014
- 60
- 11
Pole sana mkuu, ngoja wataalamu wa tiba waje.
pole sn mdau.nashauri kabla ya chochote nenda pale shule ya uhuru mchanganyiko ulizia Braille Press watakuonyesha hapo utakutana na ma audiologista watakupima kujua una uwezo kiasi gani cha kusikia(residual hearing) then watakuelekeza cha kufany.Yawezekana ni ear wax tu imezidi so watakusafisha ila ni pm pia kwa maelezo zaidi
pole sn mdau.nashauri kabla ya chochote nenda pale shule ya uhuru mchanganyiko ulizia Braille Press watakuonyesha hapo utakutana na ma audiologista watakupima kujua una uwezo kiasi gani cha kusikia(residual hearing) then watakuelekeza cha kufany.Yawezekana ni ear wax tu imezidi so watakusafisha ila ni pm pia kwa maelezo zaidi