Tiba ya ugonjwa wa MATENDE

SukariTamu

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2013
Posts
295
Reaction score
59
Habari wakuu..Ninaomba kuuliza hivi ni Kweli hakuna tiba kabisa ya huu Ugonjwa wa MATENDE?
 
Ugonjwa unatibika tena bure kabisa na kwa dawa rahisi sana kutegemeana na anapoishi mgonjwa. Kama unamjua ama una ugonjwa huu au hata dalili, wahi hospitali yoyote ya serikali. Matibabu yake sio ya vidonge tu, lakini yana maelezo marefu ya lifestyle ambayo inabidi kupata kutoka kwa daktari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…