fikirijohnas
Member
- Nov 10, 2018
- 46
- 29
Kwanza inaonekana iliyotumika kwenye tofali ni ndogo,,au tofali ni BamBam hizo.Habari ndg zangu.
Ninaomba tiba ya fangasi kwenye nyumba ambayo tayari imeathirika na fangasi ya ukutani.
-rangi na tofali vinapukutika kutokana na unyevu wa maji.
Ahsanteni. View attachment 2929181
😁Tunasubir Ilmu....