Tiba ya unyevu(fangasi) kwenye nyumba.

fikirijohnas

Member
Joined
Nov 10, 2018
Posts
46
Reaction score
29
Habari ndg zangu.
Ninaomba tiba ya fangasi kwenye nyumba ambayo tayari imeathirika na fangasi ya ukutani.
-rangi na tofali vinapukutika kutokana na unyevu wa maji.
Ahsanteni.
 
Points 10 za ujenzi: Chumvi katika jengo

Pitieni thread hiyo...

 
Habari ndg zangu.
Ninaomba tiba ya fangasi kwenye nyumba ambayo tayari imeathirika na fangasi ya ukutani.
-rangi na tofali vinapukutika kutokana na unyevu wa maji.
Ahsanteni. View attachment 2929181
Kwanza inaonekana iliyotumika kwenye tofali ni ndogo,,au tofali ni BamBam hizo.
Halafu pia Mchanga uliotumika kutengenezea tofali huo,nao kama ile michanga bei nafuu yenye chumvi...
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…