ween
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 414
- 129
Matumaini yangu mu wazima,
Ninahitaji msaada wa haraka, nimetokewa na uvimbe mdogo size kama tunda la mzabibu ni kidogo kwa nje hakionekani isipokuwa nikishika sehemu hayo ya taya ndipo nikibinya taratibu nasikia kinauma. Ila pasipo kukitafuta nikakibinya sisikii maumivu kabisa, ninatafuta vizuri naachama vizuri nageuka vizuri.
Ninaomba kujua hili tatizo gani na linasababishwa na nini. Pia naomba nipatiwe tiba yake.
Ninahitaji msaada wa haraka, nimetokewa na uvimbe mdogo size kama tunda la mzabibu ni kidogo kwa nje hakionekani isipokuwa nikishika sehemu hayo ya taya ndipo nikibinya taratibu nasikia kinauma. Ila pasipo kukitafuta nikakibinya sisikii maumivu kabisa, ninatafuta vizuri naachama vizuri nageuka vizuri.
Ninaomba kujua hili tatizo gani na linasababishwa na nini. Pia naomba nipatiwe tiba yake.