Easyway
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 2,606
- 3,710
Kwa mtu yoyote mwenye mba na ambaye ametumia dawa nyingi na hakupona nashauri atumie mafuta ya nazi apake kichwani yanaweza kukuponyesha.
Mafuta ya nazi ya kawaida tu yametibu mba niliokuwa nao kwa miaka zaidi ya kumi nilitumia dawa nyingi sikupona ila nilipoanza kutumia mafuta ya nazi sina tena mba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mafuta ya nazi ya kawaida tu yametibu mba niliokuwa nao kwa miaka zaidi ya kumi nilitumia dawa nyingi sikupona ila nilipoanza kutumia mafuta ya nazi sina tena mba.
Sent using Jamii Forums mobile app