Kwa mtu yoyote mwenye mba na ambaye ametumia dawa nyingi na hakupona nashauri atumie mafuta ya nazi apake kichwani yanaweza kukuponyesha.
Mafuta ya nazi ya kawaida tu yametibu mba niliokuwa nao kwa miaka zaidi ya kumi nilitumia dawa nyingi sikupona ila nilipoanza kutumia mafuta ya nazi sina tena mba.
Asante mkuu.@Kitulo kwa kutupa feedback ya Mafuta ya nazi ni dawa ya maradhi mengi tu lakini wadanganyika wanayadharau na mara nyingi waswahili wanasema kila mwenye kudharau mwiba mguu wake utaota tende.