ticha anayependa kufanya mapenzi na wanafunzi wake wa kike...!

Dume la Nyani

Member
Joined
Apr 14, 2011
Posts
37
Reaction score
8
imekuwa ni mchezo wa kawaida kwa huyu mwalimu wa kiume..kufanya mapenzi na wanafunz wake wa kike tena wengine ni watoto wa form2..acpojirekebsha 2tamtaja jina lake na shule anayofundsha...kchefuchefu..
 
Aiseeee baba yangu kwanini usimtaje mapema kabla ajawamaliza dada zetu,,

nangoja umtaaje tafadhali yani amekata mbege yate kichwani
 
yaani bado unamuogopa na kumheshimu na unashindwa mtaja?
muache awamalize watoto wenu basi
 
imekuwa ni mchezo wa kawaida kwa huyu mwalimu wa kiume..kufanya mapenzi na wanafunz wake wa kike tena wengine ni watoto wa form2..acpojirekebsha 2tamtaja jina lake na shule anayofundsha...kchefuchefu..
unaandika kama vile JF yote ipo hapo mtaani kwako

hujasema wapi, shule gani, mwalimu gani nk

mambaff
 
Hoja hii ni ya kidaku. Mleta hoja ana bifu binafsi na huyo ticha ama juu ya hao watoto au vinginevyo. Bila hivyo angemtaja jina na shule na mahali alipo. Laiti angeficha majina ya watoto kwa sababu ni kinyume cha sheria ingeingia akilini. Vinginevyo hata kama asemayo ni kweli, ameshindwa kuja na hoja inayoingia akilini. Je mtoa hoja anaogopa kutaja jina ili mhusika asimtaje naye wote wakamwaga mtama? Tatizo hapa ni mfumo mbaya ambapo walimu kuanzisha shule za msingi hadi chuo kikuu wanatumia mamlaka yao kueneza miwaya. Watoto wakipaga mimba rais wenu badala ya kuwashughulikia hao wahalifu anasema ni kiherehere chao. Namna hii kweli tutafika?
 
mmmh! Huyu bilashaka atakuwa mbeya hanalolote la kweli, kwanin asimtaje? Hana hata sifa zakuwa mwanajf, walimu 2po weng we vp bana!
 
Kama vipi mtaje cyo kuchonga tu yawezekana ni wewe ndugu ila unajisemesha!! Au unataka awaambukize kale kaugonjwa ka kwenye radio ndo useme?? Kwanza una uhakika huyo teacher amejiunga na huu mtandao wa jf kwamba atasoma halafu ajilekebishe huna mpya wewe usiharibu kulasa zetu bwana ok??
 
yaani bado unamuogopa na kumheshimu na unashindwa mtaja?
muache awamalize watoto wenu basi

Anasema humu utafikiri huyo ticha naye ni member. Inakuwaje kama sio member? Halafu kitu kama hicho unategemea atajirekebisha? Naona tunafanya maisha kama mchezo wa kuigiza wa sanaa za kaole.
 
Anasema humu utafikiri huyo ticha naye ni member. Inakuwaje kama sio member? Halafu kitu kama hicho unategemea atajirekebisha? Naona tunafanya maisha kama mchezo wa kuigiza wa sanaa za kaole.

'anamheshimu' mhalifu anaewadhalilisha binti zake
 
nyie ndio kama chadema mnasema mna majina ya watu alafu hamyataji...au kama unaogopa kutaja mwenyewe ni PM mimi nitayaweka majina yake hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…