Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Usichokijua ni kwamba Waalgeria wengi ni mashabiki wa Yanga[emoji16][emoji16][emoji16]Leo vyombo vya habari nchini Algeria vimetangaza tiketi zote 62,000 zimeisha within two days.
Mwarabu anataka kumfanya nini huyu utopolo jamani maana hawa jamaa tabia zao tunazijua.
So uwanja mzima wameujaza wao doh🤔🙄Leo vyombo vya habari nchini Algeria vimetangaza tiketi zote 62,000 zimeisha within two days.
Mwarabu anataka kumfanya nini huyu utopolo jamani maana hawa jamaa tabia zao tunazijua
Kama hao mashabiki watachezesha itakua balaaLeo vyombo vya habari nchini Algeria vimetangaza tiketi zote 62,000 zimeisha within two days.
Mwarabu anataka kumfanya nini huyu utopolo jamani maana hawa jamaa tabia zao tunazijua.
Goli ni 4 na dalili wataziona mapema, wakipigwa goli ndani ya dk 10 za mwanzo hapo ni mvua ya magoli [emoji1]Hakuna mtu YOYOTE mwenye akili timamu anaamini yanga anaweza KUSHINDA kwa MWARABU.
Kuna Kila DALILI ya 4-0.
Hii mzoga tutasafirisha maana mwewe yupo teyar..Tunazika ama tunasafirisha
Wanazika huko hukoTunazika ama tunasafirisha
Kinachowauma Simba ni hiki.Leo vyombo vya habari nchini Algeria vimetangaza tiketi zote 62,000 zimeisha within two days.
Mwarabu anataka kumfanya nini huyu utopolo jamani maana hawa jamaa tabia zao tunazijua.
Kama huna akili usijifiche humoHakuna mtu YOYOTE mwenye akili timamu anaamini yanga anaweza KUSHINDA kwa MWARABU.
Kuna Kila DALILI ya 4-0.
Watapigwa kama nyoka😀😀UTO WATAPIGWA KAMA NGOMA
Hakuna mtu YOYOTE mwenye akili timamu anaamini yanga anaweza KUSHINDA kwa MWARABU.
Kuna Kila DALILI ya 4-0.
Kafa kwa Mkapa mazishi AlgerWanazika huko huko
Walishafanya yao mapema tu, hivyo anajua analoliaemaTabia Gani hizo za waarabu unazijua mleta mada?