Katibu Tarafa
JF-Expert Member
- Feb 16, 2007
- 989
- 54
Naomba msaada wapi nitapata cheap flight ticket?
Na high season yote hii bado unatafuta cheap ticket, good lucky dude!.Naomba msaada wapi nitapata cheap flight ticket?
Naomba msaada wapi nitapata cheap flight ticket?
From where to where?Naomba msaada wapi nitapata cheap flight ticket?
Naomba msaada wapi nitapata cheap flight ticket?
Naomba msaada wapi nitapata cheap flight ticket?
Napenda kuwashukuru wote mliotoa michango yenu, ni kutoka UK to Dar, nahitaji kuwahi kuchukua form kwa ajili ya kuwania urais nimechoka na ukatibu tarafa.
kwenda na kurudi Israel itakuwa bei gani? naona kama wewe mzoefu sana.........najua travel agency zipo kibao na naweza kupiga simu......lakini nipe hiyo route kama unajua bei zake.huyu anataka za duniani nzima,wacha nianze na hii dsm-instanbul ret. Ticket for only 250usd-turkish airlines
1.ugombea binafsi umekataliwa............bora baki na ulicho nachonapenda kuwashukuru wote mliotoa michango yenu, ni kutoka uk to dar, nahitaji kuwahi kuchukua form kwa ajili ya kuwania urais nimechoka na ukatibu tarafa.
Kuanzia USD 1200 kutokea Darkwenda na kurudi Israel itakuwa bei gani? naona kama wewe mzoefu sana.........najua travel agency zipo kibao na naweza kupiga simu......lakini nipe hiyo route kama unajua bei zake.
Napenda kuwashukuru wote mliotoa michango yenu, ni kutoka UK to Dar, nahitaji kuwahi kuchukua form kwa ajili ya kuwania urais nimechoka na ukatibu tarafa.
Mkuu LilSun -hii ni taxes inclusive?na December itakuwa bei hii hii nikuletee wateja?au unipe namba niwapigie?Kuanzia USD 1200 kutokea Dar
Huogopi kufa?
Sasa labda uwe na visingizio vingine -kuna ndege(private jet) ya wazee wa kazi imeondoka leo kumleta mgonjwa hapo-kufa kufaana, inarudi ijumaa 2300hrs/Heathrow A, kutoka hapo-nimeona nikufanyie huduma jamii-utatakiwa kuwa na passport na USD zako 100 tu. Kurudi itabidi urudi mbele kwa mbele maana si mpaka umalize uchaguzi?na unaweza usirudi maana naona morali ulionao unaweza kuwa raisi wetu.hivi nikinunulia dar, kunaunafuu wowote ?