Ticket ya South Korea: Msomi vs Msanii

Ticket ya South Korea: Msomi vs Msanii

MR BINGO

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2016
Posts
1,164
Reaction score
2,500
salaam Jf

Katikat safari ya hivi karibuni ya "Mama kizimkazi" ya kwenda katikat moja ya mataifa yaliyoendelea kiteknolojia katikat kipind kiufupi Cha miaka 40 iliyopita south Korea, Hawa south Korea wako katika four tigers of Asia wako pamoja na Hong Kong, Singapore,and Taiwan. Hizi ni moja kati ya nchi ambazo nchi za kiafrica zinatakiwa kujifunza Sana kutoka kwako kwa sababu zimefanikiwa kuendelea in a very short period of time from 70's to Early 2000's.

Sasa kitimtim kama alivyoimba banza stone ni pale ambapo wasanii wakaenda na kiongoz wa nchi na wasomi ambao wangeweza kuiba ujuzi wa kiteknolojia kutoka moja kati ya nchi inayoongoza kwa uzalishaji wa semiconductors zinazotumika katika smartphones zetu wakiwa wamebaki wanazurura tu kwenye jua wakitafuta ajira

But haishangazi Sana hii yote ni kukosa vipaumbele kama nchi huku kipaumbele kikubwa kikiwa uchaguzi so lamata kwa sababu atavaa t shirt ya mitano tena mwakani na msomi hatoweza kufanya hivyo so ticket ya Korea kusini hawezi pewa msomi hata siku moja
 
Ziarani wanahusishwa watu wa kada mbalimbali wakiwemo hao wateknolojia unaowasema. Kule kila mtu anakutana na anayemhusu, wasanii kwa wasanii,wasomi kwa wasomi,wafanyabiashara kwa wafanyabiashara.
 
Usanii ndiyo kipaumbele namba ya watanzania sahvi
Kila mtoto anataka kuwa mkata uno,mbongo movie

Ova
 
Ziarani wanahusishwa watu wa kada mbalimbali wakiwemo hao wateknolojia unaowasema. Kule kila mtu anakutana na anayemhusu, wasanii kwa wasanii,wasomi kwa wasomi,wafanyabiashara kwa wafanyabiashara.
hao watu wa teknolojia waliokutana na watu wa teknolojia Korea kusini ningependa kuwaona

NB:isije picha ya wazir hapa
 
Ziarani wanahusishwa watu wa kada mbalimbali wakiwemo hao wateknolojia unaowasema. Kule kila mtu anakutana na anayemhusu, wasanii kwa wasanii,wasomi kwa wasomi,wafanyabiashara kwa wafanyabiashara.
Haya tumesikia wasanii wa Korea kushirikina kutengeneza movies na wasanii wa Tanzania, Mama kama rais kaingia mkataba wa mkopo wa matrilioni mbona hatujasikia hiyo team yako ya teknolojia kishirikina lolote na hao wakorea?
Usitufanye wajinga sisi bhana😩
 
Ziarani wanahusishwa watu wa kada mbalimbali wakiwemo hao wateknolojia unaowasema. Kule kila mtu anakutana na anayemhusu, wasanii kwa wasanii,wasomi kwa wasomi,wafanyabiashara kwa wafanyabiashara.
Asante sana
 
Back
Top Bottom