Ticts jobs

Ticts jobs

Jaxx

Senior Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
129
Reaction score
28
Wana JF kwani nitangulize shukrani zangu kwa ushirikiano weenu wa kila cku, nitakuwa tofauti kidogo na hisia zenu kutokana na heading ila lengo ni moja tu kusaidiana maisha maggumu kama hayo
Kuna kampuni Inaitwa Lukundo Co. ltd ni agent wa TICTS hapa bandarini kitengo cha uhakiki wa mizigo yani Tallying, Bahati nzuri jamaa (Lukundo) walitangaza kazi za Tallying Clerk nikaomba na nikapata japo pia zoezi lilitawaliwa na Rushwa,chakushangaza na kilichofanya ni post hii thread ni kuwa leo yani tarehe 22/04/2011 tuliambiwa tuanze kazi na mpaka hapo tukawa hatujaambiwa mshahara ila mbaya zaidi mimi nimefukuzwa kazi eti KISA nimeuliza mshahara ni kiasi gani?, hivyo nimepoteza kazi na wote zaidi ya 80 walioajiliwa mpaka sasa wameanza kazi ila hawajaambiwa mshahara ni kiasi gani na hakuna mkataba, eti hili ndilo soko la ajira,Mtu anaeenda kufanya kazi ya kuidhinisha na kukagua mizigo ya Billions of shillins anaanza kazi bila mkataba wala kujua mshahara?, ni hatari sana hivyo TICTS kuweni macho sana na hizi kampuni mnazozipa kazi
Naomba kuwasilisha!!!
 
pole sana. Hii ni muendelezo tu wa uozo katika taasisi nyeti katika utamaduni wa kuendekeza njaa. Kwa mtindo huo si ajabu wizi, ubabaishaji, ucheleweshaji kuendelea pale TICTS. Kila siku wanatangaza kazi utadhani wanapeleka watu Iraki. Duh!
 
Ahsante sana kichwat
pole sana. Hii ni muendelezo tu wa uozo katika taasisi nyeti katika utamaduni wa kuendekeza njaa. Kwa mtindo huo si ajabu wizi, ubabaishaji, ucheleweshaji kuendelea pale TICTS. Kila siku wanatangaza kazi utadhani wanapeleka watu Iraki. Duh!
 
pole sana kaka, ndo majaribu ya dunia. ila kwa vile una elimu yako just wait,post zingine zikitoka omba , na sio lazima ktk kampuni hiyo, kampuni ziko nyingi. Achana hao mafisadi wa bandarini. Ni haki yako kujua mshahara wako and other benefits kabla ya kuanza kazi, ila hao 79 waliobaki hawalijui hilo na wataendelea kuburuzwa hadi watakijua.
 
Pole sana mkuu duh tunangia mkenge kwa sababu ya soko la ajira kuwa dogo.
 
Pole sana mwanaharakati.Siku zote mpenda haki hapendwi.Tafuta kwingine utapata hakuna wasi.
 
Wamekuta kazi na si vyeti wala cv yako.Fighter never give up kaza buti utapata kwingine.Duh,pole sana mkulu.
 
Wana JF kwani nitangulize shukrani zangu kwa ushirikiano weenu wa kila cku, nitakuwa tofauti kidogo na hisia zenu kutokana na heading ila lengo ni moja tu kusaidiana maisha maggumu kama hayo
Kuna kampuni Inaitwa Lukundo Co. ltd ni agent wa TICTS hapa bandarini kitengo cha uhakiki wa mizigo yani Tallying, Bahati nzuri jamaa (Lukundo) walitangaza kazi za Tallying Clerk nikaomba na nikapata japo pia zoezi lilitawaliwa na Rushwa,chakushangaza na kilichofanya ni post hii thread ni kuwa leo yani tarehe 22/04/2011 tuliambiwa tuanze kazi na mpaka hapo tukawa hatujaambiwa mshahara ila mbaya zaidi mimi nimefukuzwa kazi eti KISA nimeuliza mshahara ni kiasi gani?, hivyo nimepoteza kazi na wote zaidi ya 80 walioajiliwa mpaka sasa wameanza kazi ila hawajaambiwa mshahara ni kiasi gani na hakuna mkataba, eti hili ndilo soko la ajira,Mtu anaeenda kufanya kazi ya kuidhinisha na kukagua mizigo ya Billions of shillins anaanza kazi bila mkataba wala kujua mshahara?, ni hatari sana hivyo TICTS kuweni macho sana na hizi kampuni mnazozipa kazi
Naomba kuwasilisha!!!



Inaonesha hio kazi ni uzushi tu, jamaa alobaki hapo kama yuko passive ili tu aishi hapa mjini imekula kwake. Pole Jaxx utapata kazi nyingine.
 
Hicho ni "kibarua". lolz
HAWANA HADHI WALA UWEZO WA KUKUAJIRI!
 
LUKUNDO CO LTD lazima itakua kampuni ya wapare hiyo!wamepitia kwa karamagi
 
TICTS? .......Nilijua tu! Hawa si ndo wale walisainia mikataba yetu gesti ughaibuni? Hawajua umuhimu wa mikataba. Hata kama ni mawakala wao lakini wote ni wamoja.
 
Wana JF kwani nitangulize shukrani zangu kwa ushirikiano weenu wa kila cku, nitakuwa tofauti kidogo na hisia zenu kutokana na heading ila lengo ni moja tu kusaidiana maisha maggumu kama hayo
Kuna kampuni Inaitwa Lukundo Co. ltd ni agent wa TICTS hapa bandarini kitengo cha uhakiki wa mizigo yani Tallying, Bahati nzuri jamaa (Lukundo) walitangaza kazi za Tallying Clerk nikaomba na nikapata japo pia zoezi lilitawaliwa na Rushwa,chakushangaza na kilichofanya ni post hii thread ni kuwa leo yani tarehe 22/04/2011 tuliambiwa tuanze kazi na mpaka hapo tukawa hatujaambiwa mshahara ila mbaya zaidi mimi nimefukuzwa kazi eti KISA nimeuliza mshahara ni kiasi gani?, hivyo nimepoteza kazi na wote zaidi ya 80 walioajiliwa mpaka sasa wameanza kazi ila hawajaambiwa mshahara ni kiasi gani na hakuna mkataba, eti hili ndilo soko la ajira,Mtu anaeenda kufanya kazi ya kuidhinisha na kukagua mizigo ya Billions of shillins anaanza kazi bila mkataba wala kujua mshahara?, ni hatari sana hivyo TICTS kuweni macho sana na hizi kampuni mnazozipa kazi
Naomba kuwasilisha!!!

Pole mkuu, ila hilo si la ajabu ktk makampuni binafsi , wenyewe wanasema kuwa ktk secta binafsi hakuna security of employment, kuna mtu hapa nianpofanyakazi alifukuzwa na GM(general manager) kwa kukutwa anasoma gazeti maeneo ya kazi, sasa watu wanajiuliza inamaana hutakiwi hata kupozi kidogo , yaani hapa hata hiyo lunch tunayoenda tunaambiwa kukompaset, yaani ule mda wa kawaida wa kutoka umeongezewa 30minutes za lunch, sasa imagine!! huu ndio uwekezaji tunaoukumbatia

  • :frusty:
 
Pole mkuu, ila hilo si la ajabu ktk makampuni binafsi , wenyewe wanasema kuwa ktk secta binafsi hakuna security of employment, kuna mtu hapa nianpofanyakazi alifukuzwa na GM(general manager) kwa kukutwa anasoma gazeti maeneo ya kazi, sasa watu wanajiuliza inamaana hutakiwi hata kupozi kidogo , yaani hapa hata hiyo lunch tunayoenda tunaambiwa kukompaset, yaani ule mda wa kawaida wa kutoka umeongezewa 30minutes za lunch, sasa imagine!! huu ndio uwekezaji tunaoukumbatia

  • :frusty:

Ferds; mbona wa kusurf na kupost unao? Jamani kuweni wakweli saa nyingine. Sisi wa TZ wakati mwingine tumejijengea tabia ya uvivu au ya kujivuta na mtu akiwa makini kuhakikisha mtu analipwa haki yake (unalipwa ulichofanyia kazi) tunalalamika.

Jaxx kwa ishu ya LUKINDO pole, labda wamekugundua kuwa ulikuwa si mfanyaji kazi labda ulijipenyeza kuwachunguza kama inavyoonekana!!!
 
Back
Top Bottom