Sio kweli hakuna mgomo wowote Ticts tena sasa hivi hata msongamano umeisha watu wanapiga kazi na kawaida. Kwa kuwa tayari tuna negative attitude kwa Ticts kila kitu ni rahisi kuonekana kweli...Halafu pia tunahitaji kidogo elimu kuhusu mambo ya meli maana siku hizi kuna waandishi wa habari tena waandamizi kazi yao ni kwenda pale ferry magogoni wanahesabu meli wanazoziona baharini uko na kurudi kuandika habari, huu ni upuuzi sio kila meli inapakuliwa na ticts...tena takwimu zinaonyesha kuwa mamlaka ya bandari ndio wanapakua meli nyingi zaidi...watanzania mnaingizwa kwenye mambo msiyoyajua. kuna jamaa anaitwa Igogo yeye ana washirika wenzake ndio wanataka kuleta kampuni nyingine ichukue nafasi ya ticts na huyu ndie anayelipa waandishi wote wanaoandika habari mbaya kuhusu ticts.