Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Sijawahi kuwa fan wa huyu jamaa.
Ha ha ha!umewaza mbaaaaliii!kwanini unasema ivo?Simba akikosa nyama hata nyasi anakula tyuuuu!Mnhhh watu wana roho ngumu jamani?....T.I.D?
Ha ha ha!umewaza mbaaaaliii!kwanini unasema ivo?Simba akikosa nyama hata nyasi anakula tyuuuu!
Mnh!Shoga hebu tuwe wakweli tu jamani?
Ungekua wewe ungeweza kufanya hivyo?...
huyu demu shekha si mzuri kivile ila ni chai ya wa dar es salaam wengi!kigogo TID ndo anakaa hapo kwa huyo kicheche kwa sasa kabla hajamtekea tom dar es salaam!...ujinga wa nuhu mziwanda huyu shekha aliufanya wayback kipindi anamegwa na petit man!