Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,938
Umofia kwenu wanaJF,
Huwa sipendi kuzungumzia afya za watu,ukweli kwamba nakuwa sina vithibitisho vya ushahidi lakini kwa hili la TID naomba kulizungumzia.
Wiki mbili zilizopita niliudhuria sherehe ya THT kutimiza miaka 10, Venue ilikuwa Escape1, pale Mlalakuwa karibu na jeshi.
Wakati nipo kwenye mishe zangu za kucheki wachuchu nikakutana na mnyama TID,kwanza nilishangaa kumuona kwa jinsi alivyokuwa kakonda na mwenye wasiwasi.
Nilijaribu kumsogelea ili kumdadisi vyema lakini nikashtushwa na harufu ya pombe maarufu kama kiroba na alikuwa kashika glasi fulani aliyokuwa kahifadhia hiyo kitu.
Yaani muda wote TID alikuwa mtu wa kujitenga (Mpweke) peke yake huku akiwa na wasiwasi,Muda mwingi alikuwa akijikuna mikono,mashavu na sehemu ya shingo.
Kwa uzoefu wangu wa watumiaji ngada bila shaka jamaa alikuwa anasumbuliwa na madawa ya kulevya na pale alikuwa arosto.
Kwanza afya yake ni dhaifu sana alafu uso umechoka balaa na ana madoa doa mengi usoni.
PLS, watu wake wa karibu wangejitahidi kumsaidia TID, tutampoteza kama wale wale tuliowapoteza kwa matumizi haya ya ngada.
Alafu jamaa ni mtata sana ukimhoji kuhusu kutumia madawa ya kulevya.
Mwisho nawaomba msamaha wapenzi wa TID kwa kumsema vibaya ila kwa nia njema.
Wasalaam.
========
Hii ni interview ya TID na Sporah, TID alimind sana alipoulizwa kuhusu afya yake na matumizi ya madawa ya kulevya na unywaji wa pombe kupitiliza.
Huwa sipendi kuzungumzia afya za watu,ukweli kwamba nakuwa sina vithibitisho vya ushahidi lakini kwa hili la TID naomba kulizungumzia.
Wiki mbili zilizopita niliudhuria sherehe ya THT kutimiza miaka 10, Venue ilikuwa Escape1, pale Mlalakuwa karibu na jeshi.
Wakati nipo kwenye mishe zangu za kucheki wachuchu nikakutana na mnyama TID,kwanza nilishangaa kumuona kwa jinsi alivyokuwa kakonda na mwenye wasiwasi.
Nilijaribu kumsogelea ili kumdadisi vyema lakini nikashtushwa na harufu ya pombe maarufu kama kiroba na alikuwa kashika glasi fulani aliyokuwa kahifadhia hiyo kitu.
Yaani muda wote TID alikuwa mtu wa kujitenga (Mpweke) peke yake huku akiwa na wasiwasi,Muda mwingi alikuwa akijikuna mikono,mashavu na sehemu ya shingo.
Kwa uzoefu wangu wa watumiaji ngada bila shaka jamaa alikuwa anasumbuliwa na madawa ya kulevya na pale alikuwa arosto.
Kwanza afya yake ni dhaifu sana alafu uso umechoka balaa na ana madoa doa mengi usoni.
PLS, watu wake wa karibu wangejitahidi kumsaidia TID, tutampoteza kama wale wale tuliowapoteza kwa matumizi haya ya ngada.
Alafu jamaa ni mtata sana ukimhoji kuhusu kutumia madawa ya kulevya.
Mwisho nawaomba msamaha wapenzi wa TID kwa kumsema vibaya ila kwa nia njema.
Wasalaam.
========
Hii ni interview ya TID na Sporah, TID alimind sana alipoulizwa kuhusu afya yake na matumizi ya madawa ya kulevya na unywaji wa pombe kupitiliza.
Sporah: "hapa watu wanasema TID amepungua sana, kitu ambacho kinasikitisha amekuwa kama mtoto mdogo, kama ni pombe basi utakuwa unakunywa sana"
TID: sometimes i need to be who i want to be, no body tell me unapungua au haupungui, i wanna be flexible with my music with my work, i think this is the good look i need to look, i dont wanna be like any body, i wanna be special, am feet am healthy, i dont care what people think about me.
Sporah: but we care about you!
TID: its my weight, my life my health, if am good am good
Sporah: do u think you have a good health at the moment
TID: yeah am fine, am healthy
Sporah: i dont think your healthy though?
TID: are you my doctor? are you trying to be my doctor...
Last edited by a moderator: