TID mnyama kulikoni???

Uzee unamwendea vibaya Tid,kachezea maisha anaanza kuanzisha maugomvi kifara watamumaliza.
 
Kwenye video inaonekana alianzisha ugomvi,kamwagia jamaa pombe halafu anamfuata akampiga ngumi,kilichomkuta ni ngumi jiwe
 
hii inaitwa nakoz....unakuwa na mdomo alafu huwezi kupigana,unakulaa ngumi ya mdomo,ngumi ya puaaa...washegelii chalii[KAMA HUNA NGUVU JIFUNZE KUKIMBIA]
 
Unga umemealiza tid yupo kitaan Na watoto wa juz anafanya nn acha aujue utamu wa sembe Na kokeen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…