TID ni hatari sana!

Ni kweli TID..aka mnyama..aka..mti mkavu...ni mkali...ila hashauriki....hyo jamaa..huo ndio urithi wake....
Daah wee jamaa utakuwa unakaa mitaa ya kinondoni stereo karibu na ule mwembe,maana tabia zote za huyu mzee kigogo unazijua,mbishi na mwenye dharau,laa sivyo diamond angekoma!
 
Mkuu Tid sio mshkaji wangu..Mi Ni shabiki tu kama shabiki wengine...Nnachoweza kukushauri..Rudi kasikilize kazi zake zote zen urudi kujenga hoja..
Mwambie akaisikilize nyimbo kama rahisa au siku kama hizi alafu amfananishe na hao wanaowika sasa hivi,TID tunaishi naye mtaani,tatizo lake sio unga,tatizo la TID ni dharau na kutokusikiliza ushauri wa mtu yeyote hata ndugu zake,akiamua ameamua,ndio mwanamziki anayeongoza kubishana na media hadi ilifikia kipindi show kwake alikuwa anazisikia tuu sababu ya kiburi chake,ila uwezo anao,wala hahitaji kuandikiwa,ujeuri anao tangu anatangaza radio magic alikuwa jeuri tuu!
 
Huyu jamaa anavyojiita mnyama hakosei yaani kwamfano diamond ndio angekuwa anashindanishwa na TID alafu TID apewe promo kama anazopata ally kiba,diamond tungemsahau,tatizo TID jeuri na mwenye dharau zisizo elezeka
 
Acheni ligi ndogo!!!
ligi gani veve ukiangalia hapo kuna ligi ....


ukiona mtu anakoment hivi ujue ana hasira zake huko mi wala hainiingii akilini .... majibu ya walevi na wenye stress utayajua sasa ukijifanya kuhangaika nae unajikuta na wewe una stress😎😎😎😎😎😎😎
 

Attachments

  • 11988773_1494482810853927_9077632859657319797_n.jpg
    27.3 KB · Views: 32
Kaka ligi ndogo hiyo ni nyimbo ameimba TID na bill nas
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…