TID ni shujaa, jasiri na "mnyama"

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Ndivyo alivyojitambulisha leo hii.Sasa kama anaendelea kujiita Mnyama ataacha kweli uteja?!!!

 
Vitu vingine tusishabikie kisiasa kwani watu wote waliotajwa kwenye orodha ya makonda wanahusika na madawa ya kulevya,asiyewahi kumuona TID anatumia madawa alikua anabisha kwakua hakumuona.Lakini tuliyemuona TID anatumia madawa kwa macho yetu Tulinyamaza kimya.
NB;Kama hujawahi kuwaona watuhumiwa wanatumia madawa haimaanishi ni uongo,bila hata kulazimisha watuhumiwa wote ama wanatumia au wanauza sema wengine tuliamua kukaa kimya tu
 
**** hujapata ndugu muathirika wa madawa au hujakabwa na mateja lazima tu utabeza vita hii.
Mfano upo kwa RAY C,kutibiwa kote kule lakini karudia,halafu watu wanatetea wauzaji
 
mziki umebuma kwa ruge kaharibu hiyo kick hiyo...
nitoke vipi!!
 
Akiacha kabisa itakuwa jambo zuri sana

May Almighty God help him.
 
Mi nakumbuka jisong lake tu asubuhi SAA moja kasoro miaka ile"kama wanipenda ninunulie zeze nikilala kitandani zeze lanibembeleza
 
Hivi kweli hawa hawajaona juhudi za Kalapina "Nabii koko" kwenye hii vita ya madawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…