Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Benki ya Credit Suisse, Tidjane Thiam ,62, ameukana uraia wake wa Ufaransa ili kutimiza masharti ya kushiriki katika uchaguzi wa urais wa Ivory Coast unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba.
Mwaka 2023, Thiam alichaguliwa kuwa kiongozi wa PDCI moja ya vyama vikuu vya upinzani huko nchini Ivory Coast na kumfanya kuwa mgombea wake.
Soma: Rais wa Ivory Coast awafukuza wanajeshi wa Ufaransa nchini Ivory Coast
Katika video iliyowekwa kwenye mtandao wa Facebook, Thiam amesema amewasilisha ombi la kurudisha hati yake ya kusafiria ya Ufaransa, ili kubaki kuwa raia wa Ivory Coast.
Mwaka 2023, Thiam alichaguliwa kuwa kiongozi wa PDCI moja ya vyama vikuu vya upinzani huko nchini Ivory Coast na kumfanya kuwa mgombea wake.
Soma: Rais wa Ivory Coast awafukuza wanajeshi wa Ufaransa nchini Ivory Coast
Katika video iliyowekwa kwenye mtandao wa Facebook, Thiam amesema amewasilisha ombi la kurudisha hati yake ya kusafiria ya Ufaransa, ili kubaki kuwa raia wa Ivory Coast.