Kabakabana JF-Expert Member Joined Aug 5, 2011 Posts 5,550 Reaction score 1,165 Aug 9, 2011 #1 kuna tetesi kwamba tido mhando mkurugenzi wa tbc sasa anafanya kazi al jazeera je ni za kweli!
LiverpoolFC JF-Expert Member Joined Apr 12, 2011 Posts 11,483 Reaction score 3,369 Aug 9, 2011 #2 Kabakabana! Yaelekea umetoka usingizini! Tembea tembea bila shaka urudi.
Kabakabana JF-Expert Member Joined Aug 5, 2011 Posts 5,550 Reaction score 1,165 Aug 9, 2011 Thread starter #3 liverpoolfc said: Kabakabana! Yaelekea umetoka usingizini! Tembea tembea bila shaka urudi. Click to expand... <br /> <br /> ni kweli lakini nishaamka na futari teari vipi ni kweli au?hujanisaidia bado
liverpoolfc said: Kabakabana! Yaelekea umetoka usingizini! Tembea tembea bila shaka urudi. Click to expand... <br /> <br /> ni kweli lakini nishaamka na futari teari vipi ni kweli au?hujanisaidia bado
B Bwana bonny Member Joined May 12, 2011 Posts 26 Reaction score 6 Aug 9, 2011 #4 kabakabana said: kuna tetesi kwamba tido mhando mkurugenzi wa tbc sasa anafanya kazi al jazeera je ni za kweli! Click to expand... <br /> <br /> hausomi mtandao huu mara kwa mara. Amekanusha taarifa hizo. Angalia thread za siku 2 zilizopita au michuzi blog
kabakabana said: kuna tetesi kwamba tido mhando mkurugenzi wa tbc sasa anafanya kazi al jazeera je ni za kweli! Click to expand... <br /> <br /> hausomi mtandao huu mara kwa mara. Amekanusha taarifa hizo. Angalia thread za siku 2 zilizopita au michuzi blog
Mzalendo80 JF-Expert Member Joined Oct 30, 2010 Posts 2,509 Reaction score 1,340 Aug 9, 2011 #5 kabakabana said: kuna tetesi kwamba tido mhando mkurugenzi wa tbc sasa anafanya kazi al jazeera je ni za kweli! Click to expand... Ndio ni za Kweli, Je unajengine la Kuuliza? au unataka kujua Kikwete bado ni Rais wa Tanzania?
kabakabana said: kuna tetesi kwamba tido mhando mkurugenzi wa tbc sasa anafanya kazi al jazeera je ni za kweli! Click to expand... Ndio ni za Kweli, Je unajengine la Kuuliza? au unataka kujua Kikwete bado ni Rais wa Tanzania?