Tigo Customer Care kuna shida gani hampokei simu za wateja?

Tigo Customer Care kuna shida gani hampokei simu za wateja?

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
7,914
Reaction score
10,793
Tangu Alhamis ya week iliyopita nilitoa pesa kwa wakala wa tigo pesa mara mbili bila mimi kujua.

Mara ya kwanza nilitoa 45,000 lakini nikaambiwa muamala wangu umekataliwa. Na wakala hakuona sms ya muamala. Nikazani ni tatizo tu la kawaida. tu.

Kwa vile kulikuwa na pesa kwenye account nikatoa tena mara ya pili nikafanikiwa. SMS ya muamala ikaja kuangalia salio nikagundua nimakatwa ule muamala wa kwanza kiasi cha 45,000 lakini wakala hakuona huo muamala.

Kwa vile nilikuwa safari nikajipa moyo kwamba itarudi tu hela yangu.

Nikaanza kupiga simu tangu hiyo Alhamini jioni hadi leo jumatatu, cha kushangaza simu zinakatwa tu baada ya kuongeleshwa kwa mda mrefu,, yaani ikifika sehemu ya simu yako inarecordiwa baada ya hapo inakatwa.

Shida ni nini?
 
Kweli mkuu kuna tatizo hata mimi lilinikumba tar 31/12/20 nilitoa hela kwa Wakala lakini kwa Wakala haikwenda na kwangu ikakatwa, baada ya kupiga simu c/care zaidi ya mara tano bila majibu ndo wazo likanijia la kuwasiliana nao kupitia namba yao ya what's app.

Haraka walinijibu kuwa kweli kuna tatizo na wanalifanyia kazi japo hadi sasa sijarudishiwa lkn walau mawasiliano yapo.
 
Kweli mkuu kuna tatizo hata mimi lilinikumba tar 31/12/20 nilitoa hela kwa Wakala lakini kwa Wakala haikwenda na kwangu ikakatwa, baada ya kupiga simu c/care zaidi ya mara tano bila majibu ndo wazo likanijia la kuwasiliana nao kupitia namba yao ya what's app. Haraka walinijibu kuwa kweli kuna tatizo na wanalifanyia kazi japo hadi sasa sijarudishiwa lkn walau mawasiliano yapo.
Sijui kwa nini wanafanya hivyo wakati ni pesa za watu.

Asante kwa ujumbe huu. Umenitia moyo.
 
Tangu Alhamis ya week iliyopita nilitoa pesa kwa wakala wa tigo pesa mara mbili bila mimi kujua.

Mara ya kwanza nilitoa 45,000 lakini nikaambiwa muamala wangu umekataliwa. Na wakala hakuona sms ya muamala. Nikazani ni tatizo tu la kawaida. tu.

Kwa vile kulikuwa na pesa kwenye account nikatoa tena mara ya pili nikafanikiwa. SMS ya muamala ikaja kuangalia salio nikagundua nimakatwa ule muamala wa kwanza kiasi cha 45,000 lakini wakala hakuona huo muamala.

Kwa vile nilikuwa safari nikajipa moyo kwamba itarudi tu hela yangu.

Nikaanza kupiga simu tangu hiyo Alhamini jioni hadi leo jumatatu..cha kushangaza simu zinakatwa tu baada ya kuongeleshwa kwa mda mrefu,, yaani ikifika sehemu ya simu yako inarecordiwa baada ya hapo inakatwa.


Shida ni nini?
Hata namna ya kuongea na mhudumu haipo kabisaa
 
Tangu Alhamis ya week iliyopita nilitoa pesa kwa wakala wa tigo pesa mara mbili bila mimi kujua.

Mara ya kwanza nilitoa 45,000 lakini nikaambiwa muamala wangu umekataliwa. Na wakala hakuona sms ya muamala. Nikazani ni tatizo tu la kawaida. tu.

Kwa vile kulikuwa na pesa kwenye account nikatoa tena mara ya pili nikafanikiwa. SMS ya muamala ikaja kuangalia salio nikagundua nimakatwa ule muamala wa kwanza kiasi cha 45,000 lakini wakala hakuona huo muamala.

Kwa vile nilikuwa safari nikajipa moyo kwamba itarudi tu hela yangu.

Nikaanza kupiga simu tangu hiyo Alhamini jioni hadi leo jumatatu..cha kushangaza simu zinakatwa tu baada ya kuongeleshwa kwa mda mrefu,, yaani ikifika sehemu ya simu yako inarecordiwa baada ya hapo inakatwa.


Shida ni nini?
Hawa wangu wa Morocco Smartphone Network wao ukiwapigia tu watakuwekea Matangazao yao na hadi wakija Kupokea Shida yako umeisahau.
 
Back
Top Bottom