GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Nipo njiani naelekea Kampala. Ninatamani niweze kuwa na uwezo wa kutumia Internet hata nikiwa huko, lakini kwa kutumia line yangu ya simu.
Nimejaribu kutafuta huduma ya ROAMING (ZURU KIMATIAFA) kwenye line ya TIGO lakini sijaiona. Kwa nini hivyo?
1. Tigo hawana hiyo huduma?
2. Sijaitafuta kwa makini?
Msaada wenu tafadhali🙏🙏🙏
Nimejaribu kutafuta huduma ya ROAMING (ZURU KIMATIAFA) kwenye line ya TIGO lakini sijaiona. Kwa nini hivyo?
1. Tigo hawana hiyo huduma?
2. Sijaitafuta kwa makini?
Msaada wenu tafadhali🙏🙏🙏