Kizinga mpemba
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 218
- 194
Vijana wenu wa usajili (freelencer) wanalalamika na ahadi zenu za uongo za kuwapa vifaa vya usajili 'scaner'
Sasa ni mwezi wa tatu huku Tigo vijana wenu wakitumia vifaa vya Vodacom kukamilisha kwa dole na TTCL wakitumia vya Airtel kukamilisha kwa dole
Sio sawa mnajidhalilisha wakopesheni kwa wanaohitaji kukopeshwa kama mambo magumu maana wako tayari
Sasa ni mwezi wa tatu huku Tigo vijana wenu wakitumia vifaa vya Vodacom kukamilisha kwa dole na TTCL wakitumia vya Airtel kukamilisha kwa dole
Sio sawa mnajidhalilisha wakopesheni kwa wanaohitaji kukopeshwa kama mambo magumu maana wako tayari